Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Majambazi yawapiga Risasi Wachina na kuwapora fedha eneo la Morocco Dar

$
0
0
Majambazi yamewapiga risasi raia wa China na kuwapora begi linalodaiwa kuwa na fedha  eneo la Morocco, Kinondoni jijini Dar es Salaam  jioni ya leo. Bado haijafahamika ni kiasi gani cha fedha zilizoporwa na majambazi hao. <!-- adsense -->

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles