Oparesheni
Nzito ya kuzuia Bodaboda na Bajaji zisifanye safari zake kutoka Mwenge
na maeneo mengine kuelekea mjini Posta imechukua sura mpya jana baada ya
Askari wa Usalama wa Barabarani kuanza kukamata Bodaboda na Bajaji zote
zinazovuka Mwenge kuelekea Posta, Zoezi hilo ambalo limefanyika Mwenge
Mataa Jijini Dar limeendelea kufanyika na kufamikiwa kuwanasa wengi.
Kwa
mujibu
↧