WIZARA ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto imelifutia usajili Shirika la Tanzania Sisi kwa Sisi Foundation (TSSF), kwa tuhuma ya kujihusisha na kuhamasisha ushoga nchini.
Taarifa kwa umma iliyotolewa na Msajili wa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali wizarani, ilieleza kuwa shirika hilo limefutiwa usajili kuanzia Aprili 4, mwaka huu.
Ilieleza kuwa kufungiwa huko, kunatokana na kukiuka
↧