Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kituo cha Radio cha dini ya Kiislamu cha Al-Noor Chateketea kwa Moto maeneo ya Mtoni Daraja Bovu wilaya ya magharibi Unguja

$
0
0
KITUO cha kurusha matangazo ya radio cha dini ya Kiislamu cha Alnoor kimeteketea kwa moto ikiwemo studio zake tatu. Mkurugenzi mkuu wa Radio Alnoor, Mohamed Suleiman Tall, alithibitisha kutokea kwa ajali hiyo ambayo alisema chanzo chake kikubwa ni hitilafu ya moto katika kituo kikuu cha umeme.   Alisema moto huo ulianzia katika studio nambari tatu ambayo imeteketea huku vifaa vyote ikiwemo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>