Katika baadhi
ya mitandao ya habari ya kijamii zimekuwepo habari zilizonukuliwa zikitoa
taarifa kuwa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) limetangaza nafasi za ajira
kwa Wahifadhi Wanyamapori madaraja ya pili na tatu.
Shirika
la Hifadhi za Taifa linapenda kutoa ufafanuzi kuwa nafasi hizo zilizotangazwa sio za Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA)
bali ni ajira zilizotangazwa na
↧