Baadhi ya wasafiri na wanakijiji wakitizama daraja la Kirurumo
lililoharibiwa kwa mafuriko na kukata mawasiliano kati ya Karatu,
Ngorongoro na Serengeti.
****
Mamia ya wasafiri waliokuwa wakitokea Karatu kuelekea Arusha, Dar es
Salaam na maeneo mengine ya nchi, wameshindwa kuendelea na safari baada
ya kushindwa kuvuka mto Kirurumo uliopo mpakani mwa Wilaya za Karatu na
Monduli, baada ya
↧