TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARICCM MKOA WA SHINYANGA YA LAANI KAULI YA MBUNGE WA JIMBO LA KAHAMA JAMES LEMBELI KUWA “CCM SIYO MAMA YANGU”
Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Shinyanga KIMELAANI vikali kauli
ya Mbunge James Lembeli Mbunge wa Jimbo la Kahama aliyoitoa kwenye
vyombo ya habari hivi karibuni iliyosema “CCM SIYO MAMA YANGU”.
Kwa hiyo Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Shinyanga na wana
↧