Msanii mkongwe wa muziki nchini Judith Mbimbo maarufu kama Lady
Jaydee ameshiriki kuimba wimbo maalum wa kombe la dunia 2014
akishirikiana na David Correy na rapper wa Kenya, Octopizzo
...
Katika wimbo huo, Lady Jaydee na Correy wameimba kwa lugha ya Kiingereza huku Octopizzo ‘akichana’ kwa Kiswahili.
Wimbo huo ulipigwa kwa mara ya kwanza wiki hii jijini Dar es Salaam
wakati
↧