Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Uganda yatuma Ujumbe nchini baada ya Polisi wake wakiwa na bunduki kuvamia mkoani Kagera na kurusha risasi ovyo zilizojeruhi Watanzania wawili

$
0
0
Ujumbe  wa askari wa Jeshi la Polisi la Uganda umewasili nchini kwa kile kinachodaiwa kuja kufanya mazungumzo ili kupata maridhiano kufuatia kitendo cha askari wake wakiwa na bunduki kuvamia eneo la Mutukula, mkoani Kagera, na kurusha risasi ovyo zilizojeruhi Watanzania wawili. Habari zilizopatikana jana zinaeleza kuwa  ujumbe wa askari hao umewasili nchini wakiongozwa na mmoja wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>