Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kesi dhidi ya Wanajeshi 27 wa zamani wa Kenya ambao walitoroka jeshini ili kujiunga na kampuni za ulinzi nchini Marekani yaanza kusikilizwa

$
0
0
Kesi dhidi ya Wanajeshi 27 wa zamani wa Kenya ambao walitoroka jeshini ili kujiunga na kampuni za ulinzi nchini Marekani imeanza kusikilizwa  katika kambi ya kijeshi ya Mtongwe Mombasa.    Wanajeshi hawa wote walikua wakilitumikia jeshi la Kenya nchini Iraq, Afghanistan na Kuwait kati ya mwaka 2007 na 2008 na iwapo watapatikana na hatia wanaweza kufungwa jela kwa miaka miwili bila

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>