Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Polisi wa Uganda wakiwa na bunduki wavamia Tanzania na kuanza kufyatua risasi ovyo.....Watanzania wawili wajeruhiwa kwa risasi

$
0
0
Askari  saba kutoka nchini Uganda wakiwa na bunduki ambazo idadi yake haijafahamika, wamevamia eneo la Mutukula, mkoani Kagera, na kuanza kufyatua risasi ovyo.Hali hiyo ilizua hofu na kusababisha tafrani kubwa miongoni mwa wakazi wa eneo hilo. Habari kutoka eneo hilo zinaeleza kuwa askari hao waliokuwa wamevalia kiraia, walifanya uvamizi huo majira ya saa 11:00 jioni, kwa kile

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles