Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete na Rais wa Zanzibar waongoza mamia kumuombea dua Abeid Karume

$
0
0
  Rais Jakaya Kikwete na rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein  jana  wamewaongoza mamia ya wananchi katika dua maalum ya kumuombea Rais wa Kwanza wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi marehemu  Abeid Amani Karume.   Karume aliuawa April 7 mwaka 1972 akiwa katika jengo lililokuwa Makao Makuu ya Chama cha Afro Shirazi huko Kisiwandui mjini

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>