Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Viongozi wanne wa CHADEMA Mkoani Arusha wajivua Uongozi, Warudisha kadi za chama na kujivua uanachama wa chama hicho

$
0
0
Viongozi wanne wa CHADEMA toka ngazi ya Wilaya na Kata katika Mkoa wa Arusha wameachia nyadhifa zao na kujitoa uanachama wa chama hicho.   Viongozi hao, Amani Torongey (Mwenyekiti Monduli), Revocatus Parapara (Mwenyekiti Ngorongoro), Gerald Majengo (Mwenyekiti Kata ya Terati) na Prosper Mfinanga (Katibu Mwenezi Kata ya Olorien) wamekutana na wanahabari kueleza kuwa wameamua kuwa raia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>