Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Lulu amkumbuka Kanumba ikiwa ni miaka miwili tangu kifo chake kilipotokea....."R.I.P daddy angu"

$
0
0
  Leo (April 7), ni miaka miwili tangu afariki Steven Kanumba, muigizaji aliyeacha pengo kubwa kwenye tasnia ya filamu Tanzania na Afrika mashariki kwa ujumla.   Aliyekuwa mpenzi wake na muigizaji aliyeshirikiana nae katika kazi ya uigizaji wa filamu tangu akiwa mdogo, Elizabeth ‘Lulu’ Michael amepost video yenye picha kadhaa za Kanumba na za kwake na ameandika ujumbe maalum kwa ajili

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>