Timu ya Taifa ya Watoto wa Mitaani ya Tanzania imetwaa ubingwa wa
Dunia wa Watoto wa Mitaani baada ya kuilaza Burundi mabao 3-1 katika
mchezo wa fainali uliochezwa jana (Aprili 6), jijini Rio de Janeiro,
Brazil.
Mshambuliaji Frank William alifunga mabao matatu katika mechi hiyo
iliyochezwa uwanja mkongwe na maarufu wa klabu ya Fluminense huku mgeni
rasmi akiwa Waziri wa Fedha wa
↧