Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watanzania wanne wakamatwa na polisi wa Macau China wakijihusisha na biashara ya ngono

$
0
0
  Wanawake wanne wa Kitanzania  wamekamatwa katika jimbo linalojitegemea la Macau, nchini china wakituhumiwa kufanya biashara ya ukahaba na wengine kwa kusafirisha watu kwa lengo la kufanya biashara ya ngono. kinyume cha sheria (human trafficking).... Polisi walipewa fununu kuwa kuna biashara ya ukahaba inafanyika katika hoteli moja iliyopo jimboni humo. Polisi walipofanya msako,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>