Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali YABANA usajili wa Sekondari....Kuanzia sasa shule yoyote mpya isiyokuwa na maabara ya sayansi na maktaba haitasajiliwa na wala kuruhusiwa kutoa huduma

$
0
0
KUANZIA sasa, shule yoyote mpya isiyokuwa na maabara ya sayansi na maktaba haitasajiliwa na wala kuruhusiwa kutoa huduma; Serikali imeagiza.   Wakati agizo hilo linagusa shule za Serikali pamoja na za binafsi zinazojengwa, kwa upande wa shule zilizopo ambazo hazina mahitaji hayo, unaandaliwa mkakati hatimaye zote ziwe na maabara na maktaba.   Akizungumza na mwandishi katika mahojiano

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>