Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mgombea ubunge Chalinze, Ramadhani Mgaya avamiwa na kukatwa mapanga

$
0
0
Mgombea  Ubunge katika Jimbo la Chalinze, wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, Ramadhani Mgaya (pichani juu) kupitia chama cha AFP amejeruhiwa kwa mapanga na watu wasio julikana.   Mgaya amesema amevamiwa na kujeruhiwa na mtu ambaye hamfahamu majira ya saa sita za usiku akiwa katika nyumba ya kufikia wageni ya Goodtime Chalinze.   "Nimevamiwa na kujeruhiwa na mtu ambaye simfahamu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>