Makamu
mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Mstaafu Augustino
Ramadhani akiongea jijini Dar es Salaam jana Aprili 3, 2014 katika wa
mjadala kuhusiana na umuhimu wa Tanzania kuwa na katiba mpya ya kipekee,
Mjadala ulioandaliwa na asasi isiyo ya kiserikali ya The Open Society
Initiative For Eastern African Tanzania (OSIEA). Kulia kwake ni
Mwenyekiti wa Mjadala huo, Profesa
↧