Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Walimu Wapya waliopangiwa Mkoani Kigoma wapokelewa kwa Shangwe kubwa....Wapewa magodoro, taa na pesa ya ziada ya kujikimu

$
0
0
   Walimui zaidi ya 350 wa shule za msingi na sekondari waliopangiwa kufanyakazi ya kufundisha katika halmashauri ya wilaya ya kigoma wamepokelewa kwa mbwe mbwe na bashasha huku wakipewa motisha mbali mbali kwa kuwahamasisha kufanya kazi kwa bidii hatua inayotarajia kuinua kiwango cha elimu wilayani humo na mkoa wa kigoma kwa ujumla kwa mpango wa matokeo makubwa sasa.   Walimu hao

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>