Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Daz Baba akanusha kutumia Bangi na Madawa mengine ya kulevya ....Adai bado yupo physically and mentally fit

$
0
0
Msanii wa zamani wa kundi la Daz Nundaz, Daz Baba amesema kuwa hatumii madawa ya kulevya kama watu wengi wanavyodhani. Muimbaji huyo ambaye wiki hii ameachia wimbo mpya uitwao ‘Jela’ amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM kuwa yupo fit kuendeleza gurudumu lake la muziki.   “Kikumbwa mashabiki wangu wajue zile habari walizokuwa wanazisikia kwenye magazeti ni uzushi tu,” alisema.  “

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>