Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mkuu wa Mkoa wa Dar ampasha John Mnyika....Adai hawezi kusitisha agizo lake la pikipiki na bajaj kuingia katikati ya jiji

$
0
0
MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadik amesema hawezi kusitisha agizo lake la pikipiki na bajaj kuingia katikati ya jiji, kwani hana mamlaka hayo, kwani anasimamia sheria.   Alisema hayo jana Dar es Salaam wakati akizungumza na Habari leo  kuhusu ombi la Mbunge wa Ubungo, John Mnyika kutaka asitishe agizo hilo kupisha mazungumzo baina ya Serikali, wahusika wa bodaboda na bajaj na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles