Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mama adai kuibiwa mtoto na Manesi akiwa Leba

$
0
0
Mwanamke mmoja aliyejulikana kwa jinala Shakila Bakari (30),mkazi wa Mbagala jijini Dar, ametoa madai mazito kuwa manesi wa hospitali moja (jina linahifadhiwa) iliyopo Mbagala wamemuiba mmoja wa watoto wake wawili aliojifungua Machi 28, mwaka huu. Akizungumza na gazeti la  Ijumaa  juzi, Shakila alisema siku ya tukio majira ya saa 6 mchana,alijifungua mtoto wake wa kwanza,lakini

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>