Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Jaji Warioba aijibu IKULU....Adai tume yake ilifanya kazi hadi March 18 2014, Akerwa na kitendo cha kuitwa mnafiki, ahoji wajumbe wake kutorudishwa nyumbani

$
0
0
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema waliokuwa wajumbe wa tume hiyo hawajawahi kudai malipo ya pensheni ya Sh200 milioni kama inavyodaiwa.    “Wajumbe wa Tume hawajatoa madai ya kulipwa shilingi milioni mia mbili. Hakuna mjumbe yeyote aliyetoa dai kama hilo na Serikali inajua,” alisema   Jaji Warioba katika taarifa yake kwa vyombo vya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>