Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kamati za bunge maalumu la katiba zaendelea vyema kujadili rasimu ya katiba.....Hizi ni picha za vikao vya kamati hizo toka mjini Dodoma

$
0
0
 Mwenyekiti wa Kamati namba sita ya Bunge Maalum la Katiba Stephen Wassira(katikati) akisoma dua ya kuharisha kikao cha Kamati leo mjini Dodoma. Wengine ni Mwenyekiti wa Bunge  Maalum la Katiba Samuel Sitta(kulia) na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Dkt. Maua Abeid Daftari(kushoto). Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Ismail Jussa akitoa mchango wake leo mjini Dodoma kwa Mwenyekiti wa wa Bunge

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>