Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu watano wafariki dunia katika Mapigano ya wakulima na wafugaji wa mipaka ya Shinyanga na Tabora

Mapigano ya kugombea ardhi kati ya wakulima na wafugaji katika eneo la mpaka kati ya wilaya za Kishapu mkoani Sninyanga na Igunga, mkoani Tabora yameua watu watano. Mapigano hayo yaliyotokea Jumapili iliyopita katika kijiji cha Magalata wilayani Kishapu na kusababisha vifo hivyo na mtu mmoja kujeruhiwa baada ya kushambuliana kwa kutumia mikuki. Waliouawa ni Peter Korongo Masolwa(72)Image may be NSFW.
Clik here to view.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>