Mwenyekiti
wa Kamati namba tano(5) ya Bunge Maalum la Katiba Hamad Rashid Mohamed
(katikati) akiongoza mjadala wa Kamati hiyo leo mjini Dodoma wakati wanapitia
vifungu mbalimbali vya rasimu ya Katiba mpya.
Mwenyekiti
wa Kamati namba kumi(10) ya Bunge Maalum la Katiba Paul Kimiti (katikati)
akiongoza mjadala wa Kamati hiyo leo mjini Dodoma wakati wanapitia vifungu
mbalimbali vya
↧