Mwenyekiti
wa Kamati namba 11 ya Bunge Maalum la Katiba
Anne Kilango Malecel akifafanua jambo kwa waandishi wa habari hawapo
pichani katika ukumbi wa mikutano wa St. Gasper leo mjini Dodoma.
*******
Na Magreth Kinabo – Dodoma
Kamati 12 za Bunge Maalum
zimeaanza kazi vizuri ya kuchambua Rasimu ya Katiba, huku baadhi ya wenyeviti
wakisema kuwa muda wa siku mbili wa kujadili sura ya
↧