Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wahanga wa shambulizi la kigaidi kwenye ubalozi wa Marekani wa Kenya na Tanzania (1998) kulipwa $907m

$
0
0
Jaji John Bates Jaji wa mahakama ya Washington nchini Marekani ameamuru kulipwa jumla ya dola milioni 907 za Marekani kwa wahanga wa shambulio la kigaidi la bomu kwenye ubalozi wa Marekani jijini Nairobi, Kenya na Dar es Salaam, Tanzania mwaka 1998. Hukumu hiyo ilitolewa March 28 na Jaji John D. Bates. Katika shambulio hilo la August 1998 kwenye balozi za Kenya na Tanzania zaidi ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>