Jaji John Bates
Jaji wa mahakama ya Washington nchini Marekani ameamuru kulipwa jumla
ya dola milioni 907 za Marekani kwa wahanga wa shambulio la kigaidi la
bomu kwenye ubalozi wa Marekani jijini Nairobi, Kenya na Dar es Salaam,
Tanzania mwaka 1998.
Hukumu hiyo ilitolewa March 28 na Jaji John D. Bates. Katika shambulio hilo la August 1998 kwenye balozi za Kenya na
Tanzania zaidi ya
↧