Uingereza
inajivunia kuwa nchi inayoongoza katika uwekezaji nchini Tanzania na itaendelea
kuisaidia Tanzania katika jitihada zake za kiuchumi na kuleta maendeleo .
Waziri Mkuu wa Uingereza David Cameron amemuambia Rais Kikwete wakati wa
mazungumzo yaliyofanyika 10 Downing Street, tarehe 31 March, 14,
ambapo ndipo yalipo Makao Makuu ya Waziri Mkuu wa Uingereza.
"Tunafurahia sana uhusiano
↧