WALIMU WA AJIRA MPYA 2014 WALIOKUBALIWA KUBADILISHIWA VITUO
Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa imefanya
mabadiliko ya vituo vya kazi kwa walimu Ajira mpya mwaka 2014 baada ya
kupokea na kuchambua maombi mbalimbali kutoka kwa walimu walioomba
kubadilishiwa vituo.
Hivyo walimu wote walioomba kubadilishiwa vituo lakini majina yao hayapo katika orodha hii kwa ngazi
↧