Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amestushwa
na kuhuzunishwa na ajali kubwa iliyotokea usiku wa Jumamosi, Machi 29,
2014, katika Mkoa wa Pwani ikihusisha magari matano na kusababisha vifo vya
watu 21 na majeruhi 11.
Rais
Kikwete amevielezea vifo hivyo kuwa siyo vya lazima na ni upotevu wa bure wa
maisha ya Watanzania.
Katika
salamu za
↧