Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wassira avunja mbavu waombolezaji mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara marehemu John Gabriel Tuppa

$
0
0
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano), Bw. Stephen Wassira aliwavunja mbavu waombolezaji waliofika kwenye mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara marehemu John Gabriel Tuppa yaliyofanyika nyumbani kwake Kilosa mjini, mkoani Morogoro.   Akitoa salamu za rambirambi kwa niaba ya wabunge wa mkoa wa Mara, Bw. Wassira alisema watu wote waliohudhuria mazishi hayo wanataka kwenda peponi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>