WATU sita wanadaiwa kupoteza maisha wakati 10 wakijeruhiwa baada ya
milipuko miwili kutokea eneo la Eastleigh jijini Nairobi, Kenya jana
usiku.
Milipuko hiyo ililipuliwa na magaidi katika mghahawa mdogo na kituo cha mabasi kilichopo eneo hilo la Eastleigh.
Polisi wameeleza kuwa waliopoteza maisha walikuwa wamekwama ndani ya mghahawa huo wakati wakisubiri kununua chakula cha
↧