Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Utafiti: Wananchi wengi wakubali Ridhiwani Kikwete kuwa Mbunge wa jimbo lao la Chalinze.....

$
0
0
WANANCHI wa vijiji kadhaa vilivyomo katika Jimbo la Chalinze, ambalo Aprili 6, mwaka huu litafanya uchaguzi mdogo wa Ubunge, wamempa nafasi kubwa ya kuibuka mshindi mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Kwa mujibu wa uchunguzi tulioufanywa   katika vijiji saba vya jimbo hilo, wengi wa waliohojiwa kuhusu mshindi wa nafasi hiyo, walisema Ridhiwani anashika namba moja kwa vile ni mtu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>