Rais Jakaya Mrisho Kikwete amewaambia Wananchi wa Tanga, jana tarehe 27 Machi,2014
wakati akihutubia Mkutano wa hadhara katika barabara ya Karume kuwa;
"Tayari
Halmashauri za Mkinga, Pangani na Kilindi zimeshapata pesa hizo , na tumetenga
kiasi kama hicho kwa kila Halmashauri zingine nchini ili kuboresha makazi
na Nyumba za Walimu " Rais amesema.
Fedha hizo ni sehemu ya fedha iliyotengwa
↧