Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali imetenga Shilingi Milioni Mia Tano (Tshs 500m) kwa Halmashauri 41 nchini kwa ajili ya ujenzi wa nyumba bora za Walimu.

$
0
0
Rais Jakaya Mrisho Kikwete amewaambia Wananchi wa Tanga, jana tarehe 27 Machi,2014 wakati akihutubia Mkutano wa hadhara katika barabara ya Karume kuwa; "Tayari Halmashauri za Mkinga, Pangani na Kilindi zimeshapata pesa hizo , na tumetenga kiasi kama hicho kwa kila Halmashauri zingine nchini  ili kuboresha makazi na Nyumba za Walimu " Rais amesema. Fedha hizo ni sehemu ya fedha iliyotengwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>