Mwanadada anayeuza nyago kwenye filamu za Kibongo, Tamrina Poshi
‘Amanda’ amejikuta katika wakati mgumu baada ya kumwagiwa matusi na
mdada wa mjini aliyejulikana kwa jina la Jesca kisa kikidaiwa ni baada
ya kutangaza kuwa, yeye na mume wake wa zamani, Hamis Bwela bado ni
damudamu.
Akizungumza hivi karibuni na Ijumaa, Amanda alisema kuwa, Jesca
alianza kumtukana kwenye mtandao wa
↧