Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kampeni za ubunge Chalinze: Viongozi wa CUF wavamia ofisi za CCM na kumvunja Mikono mwenyekiti wa CCM kata ya Ubena

$
0
0
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM Nape Nnauye akizungumza na Mwenyekiti wa UWT Kata ya Ubena Jesca Daudi ambaye alivunjwa mkono na Viongozi wa CUF waliovamia ofisi ya kata kwenye kijiji cha Tokamisasa.  Katibu wa Wilaya ya Makete Miraji Mtaturu akizungumzia tukio lililomkuta  Mwenyekiti wa UWT Kata ya Ubena Jesca Daudi ambaye alivunjwa mkono na Viongozi wa CUF waliovamia

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles