Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wanafunzi wawili wa chuo cha Mwenge Moshi wakamatwa kwa kosa la kuwabaka wanafunzi wawili wa sekondari

$
0
0
  Ofisa wa Polisi anayeshughulikia Dawati la Jinsia na Watoto, Afande Kasusura akiwa na bwana Majaliwa ambaye ni mmoja wa watuhumiwa wa ubakaji. Mtuhumiwa Majaliwa akioneshwa watoto alioshiriki kuwabaka kabla ya kwenda kuonesha mwenzake alipo. Afande Kasusura akimpeleka mtuhumiwa kuonesha mwenzake alipo. Majaliwa akitolewa ndani ya nyumba wanayoishi ambayo ndiyo iliyotumika kuwabaka watoto

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>