Ofisa
wa Polisi anayeshughulikia Dawati la Jinsia na Watoto, Afande Kasusura
akiwa na bwana Majaliwa ambaye ni mmoja wa watuhumiwa wa ubakaji.
Mtuhumiwa Majaliwa akioneshwa watoto alioshiriki kuwabaka kabla ya kwenda kuonesha mwenzake alipo.
Afande Kasusura akimpeleka mtuhumiwa kuonesha mwenzake alipo.
Majaliwa akitolewa ndani ya nyumba wanayoishi ambayo ndiyo iliyotumika kuwabaka watoto
↧