Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bunge Kusitishwa....Ni kutokana na kupigwa kalenda mara kwa mara....Pinda kuomba kwa Rais bunge la bajeti liruhusiwe na uchaguzi wa Serikali za Mitaa usogezwe mbele

$
0
0
  KAMA mwenendo wa Bunge Maalumu la Katiba utaendelea kama linavyokwenda, uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwaka huu, unaweza kusogezwa mbele hadi mwakani.   Waziri Mkuu Mizengo Pinda alisema hayo jana alipozungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI).   Pinda alisema muda

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>