Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bunge la katiba lavurugika....Vurugu zaibuka, wajumbe wazomeana na kurushiana matusi

$
0
0
TAARIFA ya kuwepo kwa marekebisho mapya ya Kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, zimesababisha vurugu, kurushiana matamshi yasiyo ya staha na kuzomeana bungeni, huku Mwenyekiti wa Bunge Maalum, Samuel Sitta, akituhumiwa kushiriki kuchakachua Kanuni hizo.   Hali hiyo ilijitokeza jana jioni, baada ya Sitta kuruhusu mwongozo kutoka kwa Mjumbe wa Bunge hilo, Tundu Lissu, ambaye alidai kuwa na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>