TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imebaini kuwepo kwa hujuma katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze unaotarajiwa kufanyika Aprili 6, mwaka huu.
Uchaguzi huo unafanyika baada ya nafasi hiyo kuwa wazi kutokana na kufariki kwa aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilo, Saidi Bwanamdogo, aliyefariki Januari 22, mwaka huu.
Taarifa iliyotolewa na Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu Damian Lubuva
↧
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) yabaini kuwepo kwa hujuma katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze
↧