Katibu wa NEC Itikadi na
Uenezi Nape Nnauye akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Mkoko wakati wa
mkutano wa hadhara wa kampeni za kumnadi kumgombea Ubunge jimbo la
Chalinze kwa tiketi ya CCM Ndugu Ridhiwani Kikwete ambapo wananchi hao
walielezwa kitendo cha kuzuiwa kupiga kura ni sawa na ubakaji wa
Demokrasia na CCM itakula sambamba na wabakaji wa Demokrasia.
Katibu wa NEC Itikadi
↧