Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mkuu wa mkoa wa Mara, Bw. John Gabriel Tuppa afariki dunia Ghafla akiwa katika harakati za kufunga mafunzo ya mgambo katika kijiji cha Nyamwaga wilayani Tarime

$
0
0
MKUU wa mkoa wa Mara, Bw. John Gabriel Tuppa, amefariki dunia ghafla leo majira ya saa 4.30 asubuhi baada ya kuugua kwa muda mfupi ugonjwa wa shinikizo la damu akiwa wilaya ya Tarime mkoani Mara.   Katibu tawala wa mkoa wa Mara, Bw. Benedict Ole Kuyan, amesema kuwa Bw. Tuppa kabla ya kifo chake leo asubuhi akiwa na afya njema alifika katika ofisi ya za mkoa na kumuaga kuwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>