Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Baba amnyonga mwanae wa mwaka mmoja na kuacha ujumbe usemao: “Unyama unyamani,tutafute pesa kwanza niite j.m.k.a gaidi”

$
0
0
MTOTO mwenye umri wa mwaka mmoja na miezi saba, Henry Juma, amenyongwa na baba yake mzazi hadi kufa na kisha mwili wake kulazwa kitandani na mtuhumiwa kutokomea kusikojulikana.   Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya , Ahmed Msangi alisema jana mauaji hayo yalifanyika katika eneo la Migombani katika Mji mdogo wa Tunduma.   Alisema pembeni mwa mwili wa marehemu ulikutwa ujumbe unaosadikiwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>