Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mgogoro wa mpaka wa Tanzania na Malawi waendelea kutokota:Jopo la usuluhishi lashauri nchi hizi zibadilishane hoja badala ya kufikishana mahakamani ( ICJ )

$
0
0
Jopo  la usuluhishi wa mgogoro wa mpaka wa Ziwa Nyasa linaloongozwa na Mwenyekiti wake, Rais mstaafu wa Msumbiji, Joachim Chissano, limezishauri Tanzania na Malawi, kubadilishana hoja kwa njia za majadiliano badala ya kufikishana kwenye Mahakama ya Haki ya Kimataifa (ICJ). Ushauri huo ulitolewa na jopo hilo juzi katika mkutano uliozikutanisha pande mbili hizo, mjini Maputo, Msumbiji,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>