Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta aja Tanzania kwa usafiri wa gari , safari ya umbali wa kilometa 230.

$
0
0
Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta jana alisafiri kuelekea mkoani Arusha nchini Tanzania kwa usafiri  wa gari kwa njia ya barabara, safari ya umbali wa kilometa 230. Rais Kenyatta alisimama katika maeneo kadhaa kabla ya kuvuka mpaka wa Namanga kwa kutumia kitambulisho kipya kinachoruhusu wananchi wa nchi zinazounda Jumuiya ya Afrika Mashariki kutumia kusafiri baina ya nchi hizo kwa urahisi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>