Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Habari mpya kuhusu shambulizi la Kanisa lililoko Mombasa na mtoto ambae mpaka sasa bado ana risasi kichwani

$
0
0
Idadi ya waliofariki kutokana na shambulizi la Kanisa Mombasa Kenya March 23 2014 imefikia sita ambapo wote hao vifo vyao vimetokana na majereha ya risasi huku wengine tisa waliokua wakipata matibabu hospitali wakiruhusiwa kwenda nyumbani.  Mkuu wa Polisi Kenya amesema bado hawajafutilia mbali kwamba lilikua shambulio la kigaidi ambapo kwa mujibu wa Erick Ponda ambae ni mwandishi wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>