Idadi ya waliofariki kutokana na shambulizi la Kanisa Mombasa Kenya
March 23 2014 imefikia sita ambapo wote hao vifo vyao vimetokana na
majereha ya risasi huku wengine tisa waliokua wakipata matibabu
hospitali wakiruhusiwa kwenda nyumbani.
Mkuu wa Polisi Kenya amesema bado hawajafutilia mbali kwamba lilikua
shambulio la kigaidi ambapo kwa mujibu wa Erick Ponda ambae ni mwandishi
wa
↧