HOTUBA iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete pamoja na ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba zitajadiliwa bungeni baada ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuridhia ombi hilo lililotolewa na baadhi ya wajumbe.
Sitta alikubali hoja hiyo iliyotolewa na Mjumbe wa Bunge hilo Maalum, Julius Mtatiro kupitia mwongozo alioomba jana.
Sitta
↧