Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wabunge wakubaliana kuzijadili hotuba za Rais Kikwete na Jaji Joseph Warioba......Lengo ni kupeana uelewa mpana wa kilichosemwa ili kuwa bunge moja lenye maridhiano

$
0
0
HOTUBA iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete pamoja na ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba zitajadiliwa bungeni baada ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuridhia ombi hilo lililotolewa na baadhi ya wajumbe.   Sitta alikubali hoja hiyo iliyotolewa na Mjumbe wa Bunge hilo Maalum, Julius Mtatiro kupitia mwongozo alioomba jana.   Sitta

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>