Suala la msanii wa Kenya, Colonel Mustapha kupost picha akiwa na
Huddah Monroe zilizoweka alama nyingi za kuuliza kwa wana maadili
limeendelea kuwa mwiba kwake.
Siku kadhaa baada ya Huddah kudai kuwa hawana uhusiano wowote na
Mutapha zaidi ya kupiga picha ili kumpa kick msanii huyo, wanawake wa
Pwani wakiongozwa na mwimbaji wa kike wa Kenya Nyota Ndogo waliandamana
wakilaani
↧